Acheni uongo EU wamesema wafungwa wa kisisa waachiwe huru, waendelee na kukiimarisha chama chao, Kuwe na uhuru wa kujieleza na kutoa maoni. (haki za binadamu ziheshimiwe kwa ujumla).
Wewe huna akili, mwenyekiti wa kwanza wa CCM alikaa madarakani miaka mingapi, ina maana hakuna demokrasia huko? na Chadema kama amechaguliwa, we unataka demokrasia gani tena, jiongeze !!
Baadhi Watanzania wapo kama baadhi ya wanawake wanandoa ambao watapigwa, watanyanyashwa, wataumizwa, NAMBA WATAISOMA, na kila aina ya uovu watafanyiwa na waume zao, lakini ukiwaambia wadai talaka, watesema nampenda mume wangu.
Kwangu Mimi GENTAMYCINE naona ni zaidi ya Kiongozi na ukiona hadi Kitu au Mtu ' anasifiwa ' na ' kukubalika ' sana na Mimi jua ya kwamba hata Mwenyezi Mungu amekubali pamoja na wale ' Malaika ' zake Jibril na Mikaela hivyo nitawashangaeni sana Watanzania kama mwaka 2025 msipomchagua huyu Waziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.