Stephen Mwingira
Member
- Dec 14, 2013
- 27
- 12
Baadhi Watanzania wapo kama baadhi ya wanawake wanandoa ambao watapigwa, watanyanyashwa, wataumizwa, NAMBA WATAISOMA, na kila aina ya uovu watafanyiwa na waume zao, lakini ukiwaambia wadai talaka, watesema nampenda mume wangu.