Jamani mtu akibuni kitu kizuri mpongeze, Luna watu wanashangaa ligi ya timu tatu inaonesha si Mdau wa mpira Bali ushabiki wa simba na yanga ndo unawatesa. Tambua kwanza lengo mahususi la simba super cup ndo uanze kutoa povu. Jana msemaji wa timu kasisitiza sana juu lengo mahususi ya hili kwa...
Kumbukeni mimba amepewa Akiwa mke wa mzee abdul. Kwa maelezo ya mama hivyo mondi ndo mwenye maamuzi ya hilo, mzee alichemka cha kufanya aende mahakamani adai jina lake kutumika.
Ni kweli kaka shule yangu nimesoma kwa shida sana. Hivyo basi hili suala liende kwa mhusika. Pia tuwe na utamaduni wa kulipia watoto karo kwa kubana matumizi yetu ili mkopo unakuwa kwa wahitaji kwelikweli.
Sikatai kuwa busega tuna tatizo la kiuongozi ila mbinu tunazotumia hazisaidii twendeni vijijini tuwaeleze wazee na si humu mitandaoni, kwani mara anagawa 10,000/= mara 20,000/= wapiga kura wa busega hawapo jamii forum. LET BE SERIOUS BWANA.
Siasa feki hizo hamuwezi kumtoa chegeni kwa staili hiyo la msingi ni kuingia front na si kutumiwa majungu na kupost mitandaoni na anayewatuma anawadanganya bali hawezi kuwa hata mtendaji wa mtaa. Kwani hata family tu imemshinda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.