kwanza kabisa wanajamvi naomba kusikitishwa na taarifa zinazozidi kuenezwa na serikali ya chama cha mapinduzi kwa kasi kwa kutumia waandishi wa habari na vyombo vya habari vya kikanjanja.
Si kweli kwamba shule ya sekondari forest imegeuzwa kuwa shule ya mateso,ni kwamba serikali dhaifu ya...
hii ndio shule ya naibu waziri Amim Mulugo ambaye hajui ni nchi zipi zimetengeneza Tanzania,Hajui mwaka wa uhuru wala Muungano na haya ndo matokeo ya shule inayomilikiwa na yeye.
Kwanza kabisa arusha naomba mumshukuru Mungu amewapa nafasi nyingine ya kumrudisha kwenye harakati Mh Godbless Lema please thibitisheni kama mmeichoka ccm
hoya jamani hebu tumieni minds zenu vizuri kama hujasoma mzumbe na haupo mzumbe usiseme chochote kwa sababu tunaosoma na waliosoma wanajua kuna course ngapi na mtu hapimwi kwa idadi ya course bali kwa competence yake kama vp tukutane kwenye knowledge application
Wana JF mmemsikia waziri mchovu wa fedha Tz anasema eti pesa yetu inaposhuka thamani eti serikali yao haina la kufanya kwa sababu ya uchumi huria,kweli ni timamu huyu? Wachumi wenzangu tusaidiane kumuelimisha huyu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.