Recent content by Stepha2030

  1. S

    Biashara, Fedha na Uwekezaji vifundishwe Shuleni Kwa vitendo nadharia hatufikishi kwenye matokeo

    1. Kidato cha kwanza mpaka cha nne Elimu ya biashara, uwekezaji na fedha itolewe kwa nadharia 2. Kidato cha tano na sita Elimu ya biashara na uwekezaji na fedha itolewe kwa vitendo walau asilimia 10 ya ada itumiwe na wanafunzi kubuni au kuwekeza kwe biashara kwa vitendo... 3. Chuo 20% ya Alama...
  2. S

    Elimu yetu ni kipofu au mfumo ndio kipofu?

    1. Tunaposema tumefanikiwa kuweza kuhakikisha asilimia kubwa ya vijana wetu kufika walao kidato cha nne, ni kwamba tumeongeza ufanisi kwenye ufundishaji na miundo mbinu ya Elimu au TUMEPUNGUZA UFANISI KATIKA UTUNZI NA USAHIHISHAJI WA MITIHANI?? 2. Tunaowaita wabobezi wa maswala ya Elimu...
  3. S

    Nimepata milioni 30, mnanishauri nifanye biashara gani, mimi ni mwajiriwa, ili niweze kuacha kazi

    ukipata wazo lolote anza na m5 tu nyingine ziache bank kwanza.
  4. S

    Kwa hiyo ndo kusema kuwa wanawake hatuna haki ya kuelezea hisia zetu?

    msala ni kupata mnaependa....kupata unae mpenda unaweza na kupata anaekupenda ni sawa.....kupata mnaependana ni bahati ambaya hupatikana kwa bahati na kwa wenye bahati.
Back
Top Bottom