Recent content by Steph kabs

  1. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Viongozi, Wanachama na Wapenzi wa CCM acheni ushabiki wa kisiasa huku nchi inateketea jibuni haya

    hahahahahahahahahahahah asante......... Ningekuwa na link ya direct na mwenyekiti wangu wa CCM ningemuuliza... Ila haya maswali yanamajibu........ Kidumu chama cha Mapinduzi
  2. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Miaka 50 na Tanzania yangu

    Kaka elimu tunayoitoa mahali popote inatusaidia sana. Mimi na wewe kama tunaipenda nchi yetu twende huko vijijini tutoe elimu bure na kwa kujitolea.....
  3. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Miaka 50 na Tanzania yangu

    Niliambiwa kuwa nikiwa mahali popote ninapo pata nafasi ya kusoma au kufanya jambo nilifnye to my epic yaani nilifanye vizuri mno si kufanya jambo ilimradi nimelifanya ilihali baadae nitakaposhindwa niweze kujijua nilikosea wapi na nijisahihishe vyema...... Lakini hii ni tofauti sana kwa vijana...
  4. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Slaa wa CHADEMA alivyopokelewa nchini Zambia

    Tusisahau hata kanumba na Ray nao walipokelewa kwa shangwe rwanda na burundi...............
  5. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Miaka 50 na Tanzania yangu

    Umri wangu haujafika hata nusu ya miaka ya nchi yangu nimeshuhudia maendeleo makubwa sana ndani ya nchi yangu. Naishukuru CCM Kwa kunisaidia kufika hapa nilipo. Vijana wengi wa leo tunathubutu kusema kuwa CCM haijatufanyia lolote. Napenda kusema hapana kwani CCM imenipa haya yafuatayo na...
  6. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania Waziri Kivuli wa Uchukuzi ni MZIGO

    Umakini unahitajika fanya haraka usilale....... Chama kilicho na nia ya kweli na ya dhati kuikomboa nchi hii ni kile chama kilicho makini na mambo yake. Adolph Hitler aliwaua wayahudi kule ujerumani kwa amri yake, hakuwaua wayahudi wote wapo waliobaki ikisemekana kuwa walibaki ili tuone ni...
  7. Steph kabs

    JamiiForums Tanzania M4C katika picha

    Yaah ni vyema kuon mabadiliko ya kisiasa kuanzia ngazi za chini kabisa katika muhimili wa taifa ila vyama rafiki vinahitaji miaka mingine 20 ili kujiimarisha na kuanza kutushawishi tena..... Napenda kusema kuwa bado vyama rafiki vina mapungufu mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa marekebisho ili...
Back
Top Bottom