Yaah ni vyema kuon mabadiliko ya kisiasa kuanzia ngazi za chini kabisa katika muhimili wa taifa ila vyama rafiki vinahitaji miaka mingine 20 ili kujiimarisha na kuanza kutushawishi tena..... Napenda kusema kuwa bado vyama rafiki vina mapungufu mengi ambayo yanahitaji kufanyiwa marekebisho ili watanzania tusijekujuta hapo baadae....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.