Recent content by Step by step

  1. Step by step

    JamiiForums Tanzania Wale Msioamini Mauzauza, Hili ndo jini linalokuja kama Paka?

    Dah comment muhimu sana hii lwenye uzi
  2. Step by step

    JamiiForums Tanzania Mimi sifanyi maombi yoyote zaidi ya kusali sala ya baba yetu uliye mbinguni kila baada ya lisaa limoja

    Kama inakupa amani endelea nayo tu mkuu achana na haya maombi ya kupigana na shetani
  3. Step by step

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ninatafuta mwanaume mmoja aliyejaa upendo na ukarimu kutoka kwa Mungu, atakayekubali kuwa kaka yangu

    Kama kweli unatafuta kaka kwa maana ya kaka wa kukushauri, kukuelekeza maisha na kukuonya unapokosea karibu inbox kwangu
  4. Step by step

    JamiiForums Tanzania KERO Tabia ya Shule za Serikali kugomea uhamisho hadi Mwanafunzi awe na Wastani A inaumiza sana

    Shida ni kwamba mtoto akifeli walimu wanafikewa nao wamejiongeza wanasita kupokea mtoto mwenye uwezo wa kati
  5. Step by step

    JamiiForums Tanzania Babu Trump ashaonya kuhusu ukandamizaji, unyanyasaji na mauaji ya wakristo. Sasa endeleeni kuwachokoza TEC

    Those are these, these are those. Bi kizimkazi atakuuliza who is babu Trampu
  6. Step by step

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wamiliki vyuo vya afya vya City College acheni dhulma na unyonyaji

    Tuhuma, kama miongoni mwao kuna makada wa mboga mboga mwandishi ataitwa mchochezi kisha tutaunda tume
  7. Step by step

    JamiiForums Tanzania Body language.. Facial expression vinatambulisha mzigo mzito aliobeba moyoni

    Dah umetaja hiyo dawa umenikumbisha mbali sana, afya ya akili
  8. Step by step

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baada ya tendo la ndoa,mke wangu ameanza kuumwa tumbo,anasema nimemfanya mno.

    Hii code umekabia juu sana sijui kama jamaa kakuelewa
  9. Step by step

    JamiiForums Tanzania KERO Hali ya Barabara ya Kibaha Mailimoja Mitaa ya Kwa Mang’umbi inasikitisha

    Mkuu hapo jiungeni tu mnaopita hiyo barabara muweke kifusi ukiwasubiri hawa kuna siku mtashindwa kutoka. Kumbuka wameshashinda uchaguzi
  10. Step by step

    JamiiForums Tanzania Natengeneza Computer na kuuza Accessories

    Betri ya laptop hp sh ngp boss
  11. Step by step

    JamiiForums Tanzania Nataka kujilipua nimtumie huyu jamaa ili aniunge bando la tiGO kwa Tzs 6,500

    Kwa ukimya huu itakua kashaliwa kichwa mtu. Sio mbaya amemchangia mwamba 6500 kwenye ada za watoto
  12. Step by step

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima anasema tukutane kesho Desemba 7 kwenye siku ya Baba na Wanae, kanisani Kibo

    Wataangalia anaingia kanisani kutokea wapi kisha chimbo lake litakua lishajulikana
  13. Step by step

    JamiiForums Tanzania Je, huu ndio ulikuwa mwisho wa Hananja?

    Hata wewe kumtaja jina lake unamkuza sana sisi tulishamsahau
  14. Step by step

    JamiiForums Tanzania Nimenunua powerbank feki , msianguke nilipojikwaa

    We utauziwa powerbank kwa aftatu unakubali tu. Bei ilifaa ikushtue
Back
Top Bottom