Kumbe bado ujamwelewa hebu lud kwa Mara nyngne ukasome ile post then umshilikishe na best yako akwambie maana ya huyo aliepost, ajafanya utan zote n point tena znaujazo
Hebu jifute maziwa uliyokunywa kwenye mijidevu yako bado unadhihilisha we n mtoto kwa kwel,kakue kiakili kwanza ndo uje tuongee inamaana haujui unachokizungumza
Tatizo co kubadili vyama hapa kuwatoa ccm wala kumweka nan hapo juu,shida ni kumpata kiongozi bora haijalishi anatokea upande upi ili mradi aweze kusimamia mambo ya watanzania yaende kama yanavyotakiwa.Tuondokane na hii dhana ya kwamba tumpe ukawa mara ccm wote hawa wapo wazur na wabaya...
We kweli bado ujakomaa kisiasa na haufatilii,hebu jiulize huyo lowasa waliempokea leo ilikuwaje kipindi cha nyuma walimwongeaje hao viongozi wa chadema lakn leo n rafk kwao na mtu muhimu.Jenga picha akilin mwako uone kama co unafki na usalit huo wanaowafanyia watanzania
Hv n ww ndo umeprnt hch kitu,tazama mbele na ludi utazame mchakato mzima wa richmond mwanzo mwisho ndo ulud tena inawezekana kipind hicho haukuwa na uwelewa mzuri juu ya mambo hayo
Afadhali yako ww umejua hilo siasa za tanzania n upuuzi mtupu yan hakuna wanalofanya zaid ya kujali matumbo yao tu,Hakuna chama knachoangalia maisha ya watanzania n polojo na usalit tu
Majibu yake hayardhish kwa kwel na hata upinzani nao n wanafiki wakubwa sana na wanasiasa za kipuuzi na kipumbavu na hata huyu El nae anauchu wa madalaka na kama akipita ukawa itakuwa ccm nyingne tena
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.