Habar za muda huu wanaJF
Mimi sio mshauri ila kuna kitu huwa mara nyingi kina nijia kichwani na juzi tu kuna rafiki yangu kakigusia nikawa nimekikumbuka nikaona ni share hapa.
Watu wengi katika mahusiano ya kirafiki au ya kimapenzi hupenda kufanya kitu kwa sababu ya kuwafurahisha watu wao.kwa...
Ingawa sielewi BAKWATA wanafanya hili kwa faida ya nani!??? Moja ya siku niliyo kwazika ni leo na waislam tumekaa kimya tukiendelea kugawanywa kimafungu katika siku hizi muhimu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha sina uhakika na hilo ingawa naona wafanyabiashara wengi wadogo wanaliamini hili au ndio wanaenda na dhana ya lisemwalo lipo kama halipo linakuja.
Hii kitu leo imenitokea na nimecheka sana.story ipo ivi nnarafiki anaduka la uwakala wa tigopesa,mpesa na airtelmoney sasa mara chache huwa nakuwanae hapa dukani kwake na huwa ana nieleza na kumuona akipokea changamoto mbalimbali kukabiliana na kuzuia asipate pesa bandia na za chuma ulete.
Sasa...
Habari wanaJF,
Ningependa kugusia kitu kabla sijaenda kwenye swali langu.
Tukikumbuka mwaka Jana ama mwaka juzi vyuma vilipo anza kukaza watu wengi walikuwa wakilalamika pesa imepotea mtaani,
Maana si watu wa kawaida nikimaanisha raia wa kawaida wala taasisi za kifedha kuwa na kiasi kidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.