Wewe upo mkoa gani? mbona sasa hivi wapo katika hatua za mwisho za kuchuku alama za vidole pamoja na picha kisha baada ya ndio itakuja hauta nyingine ya kutoa vitambulisho.
Dada umesema kwamba wewe ni mlokole, me ningekushauri kaombe ushauri kwa wachungaji wako, na wewe pia ukifanya maombi. hiyo ni kazi ya shetani na shetani atafurahi kuona umeshindwa na mimi naamini huwezi shindwa vita hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.