Recent content by Starn

  1. S

    Lowassa na Kiingereza chake!

    Kujua kingereza sio shida ndio maana WAchina wanaenda na wakalimani
  2. S

    Madhara ya Amarula

    Maji na maziwa yatakufaa sana katika kipindi hiki.
  3. S

    Jenista Mhagama: Waziri asiyejua dressing code tumtegemee kwa lipi katika elimu?

    Sasa mavazi yake yanahusiana nini na ufanisi wake wa kazi? Some people bwana!
  4. S

    Kambaya: CCM inaendeshwa kwa mawazo ya Kardinali Pengo

    Badala ya kueleza sera za chama chako unaeleza mambo binafsi ya Nape. yatawasaidia nini Wananchi wa Magomeni
  5. S

    Vitambulisho vya utaifa vimekwamia wapi? Mbona Zanzibar wameweza??

    Wewe upo mkoa gani? mbona sasa hivi wapo katika hatua za mwisho za kuchuku alama za vidole pamoja na picha kisha baada ya ndio itakuja hauta nyingine ya kutoa vitambulisho.
  6. S

    Kauli za viongozi wa Tanzania zenye utata!

    Hakuna mtukufu chini ya jua.
  7. S

    Mchumba wa kike kuvuta sigara mbele za wakwe!!

    Lakini afadhali kawaonyesha tabia yake, mngeiona baada ya ndoa si ndio mngechanganyikiwa kabisa.
  8. S

    Sifa kuu za kabila la Kinyakyusa

    Ni kweli kabisa.
  9. S

    Mwaka wa pili mpenzi wangu hataki tufanye mapenzi wakati huo huo anadai ananipenda

    Hivi mtu kukuonyesha kwamba anakupenda ni mpaka ufanye naye mapenzi?
  10. S

    Nisaidie ushauri...ndoa imenishinda

    Dada umesema kwamba wewe ni mlokole, me ningekushauri kaombe ushauri kwa wachungaji wako, na wewe pia ukifanya maombi. hiyo ni kazi ya shetani na shetani atafurahi kuona umeshindwa na mimi naamini huwezi shindwa vita hii
Back
Top Bottom