GUYZ KWA ANAEJUA JINSI YA KUPATA KAZI NCHI ZA NJE PLZ ANIJUZE...
.
Wanazengo naitaji kujua jinsi ya kufanya mpaka MTU unapata kaz nchi za njee mana bongo nyoso...bongo balaa maisha popote kujaribu tuuu
Ukiwa mwanasiasa ili ukiki ujulikane...unamwambia wa chini yako atengeneze tatzo..alafu wewe unakuja unalitatua unalipga marufuku...aisee utakiki miaka buku
Ni mda mrefu tangu mwaka 2004...na pale wizaran wengi washabadilishwa badilishwa wengne so wengi pale ni wapya awamjui na kule namanga nyumba iliuzwa walipohamia kwa uyo MTU aliyekuwa anakaa nae
Aisee namtafuta MTU ambaye anaitwa john ambonise au ukoo au familia ya bwana john ambonise alishawai kuwaga dokta mifugo pale magomen dsm wizarani...na aliwai kuishi namanga kwa ndugu yake yeye ni MTU wa mbeya anaitwa JOHN AMBONISE
Namtafuta mtu anaitwa john ambonise...ni mwenyeji wa mbeya...aliwai kuishi msasani namanga kwa ndugu yake na aliwai kufanya Nazi magomen wilayan...yeye ni dokta mifugo..yeyote mwenye taarifa zake plz.....0674251170
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.