Recent content by StanyRosa

  1. StanyRosa

    Muongozo kupata kazi bank

    Good idea thank you Ntafanyia kazi
  2. StanyRosa

    Muongozo kupata kazi bank

    Bank teller Loan Officer
  3. StanyRosa

    Nataka kufuga kuku wa kienyeji

    Nataka ushauri juu ya banda la kuku 50-100 wa kienyeji Hasa gharama nipo Mbagala Mishen
  4. StanyRosa

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Now this isn't right kwa kweli Tujifunze kwenda na ukweli sio kuondoa sheria kwa faida binafsi Ahsante sana napata picha tutokako na tuendako
  5. StanyRosa

    Muongozo kupata kazi bank

    Mimi nina diploma ya procurement and logistic management natafuta kazi bank
  6. StanyRosa

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Otorong'ong'o, Mm naona kuna haja hapa mtu atoe elimu kwanza ya uundwaji wa bibblia na ukristu kabla ya kugawanyika . Na tujue kila maamuzi yalifanywa kwa maslahi either personal or kwa ukristu
  7. StanyRosa

    Nataka kufuga kuku wa kienyeji

    Eneo langu Kubwa Ila halina fensi Sasa natamani kufuga kuku 50-100 Naombeni ushauri na gharama za ujenzi wa banda la kuku
  8. StanyRosa

    MJADALA: Kwanini Padri Luther aliondoa baadhi ya vitabu kwenye Biblia, na kwanini alijiondoa kanisa Katoliki?

    Deogratius Kisandu, Sikuwahi pata good and complete Clarification za Padre Luther na je nani mwenye mamlaka ya kutoa vitabu na kupunguza mistari ya bibblia. Pili kanuni za kanisa ndizo alizipinga au bibblia? Ahsante
Back
Top Bottom