Katika hafla ya kuwaapisha wakuu wa mikoa, Mhe. Spika amewaasa wakuu wa mikoa kuacha kujiita marais wa maeneo wanayoyaongoza akidai kufanya hivyo kunawafanya kujiona kama Rais.
Binafsi sioni tatizo kujiita jina la unayemwakilisha eneo husika. Lililo la msingi kwao ni kumwakilisha Rais kwa...
`Nawasalimia kwa jina la JMT. Salamu ya mama inaakisi kichwa cha habari yangu. Magufuli alikuwa mwanadamu pambio za baadhi yetu kumtukuza ilikuwa ni mahaba makubwa waliyokuwa nayo juu yake, ukiachana na wale waliompamba kwa kilermba cha ukoka.
Nashauri tuachane na kumlaumu, kumkosoa na...
Sijamsikia Ndugai, anasema Rais alishauriwa vibaya au alidanganywa kuhusu mkataba wa ujenzi wake?. Nilimsikia Rais Magufuli alichoeleza kama hakudanganwa ndiyo kilichomo katika mkataba ule. Ndugai alipaswa kushauri nchi ikae mezani tena kukubaliana na wachina upya na kurekebisha baadhi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.