celinawetu
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 1,331
- 1,059
Ungetumia njia nyingine kumpelekea taarifa hii, either kupitia mbunge wako au kumuandikia barua bila kutaja jina ingesaidia, hiki kijiwe hautapata jawabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie wajinga mlikuwa mnakula kodi zetu ,huku mkiwambia wahitimu wakajiajiri na huyo jiwe wenu ....Naomba nipingane na Mh. Spika 100%... Mungu njoo tusaidie, Mungu tusaidie, presentation sio sbb, ukubwa wa mradi sio sbb, mradi wa Bagamoyo utakausha nchi yetu na Rasilimali zote ndani ya miaka 99 au 50 ijayo, kila kitu kitakuwa kimeisha, sbb ukiwapa Chinese ku operate kwa 99 or 50 yrs alafu mmpewe kuendesha hiyo Bandari, itakuwa hakuna kitu hapa Tanzania.. Naumia sana kwa Ndugai kusema haya bila kuwa na datas, anasema ukubwa tu akidhania ndio faida, kumbe isiyo na faida..
Mungu tusaidie jamani.. Mungu tusaidie, Spika amekuwa very theorical badala ya kuangalia deep inside Chinese economic Intelligence yao, ni hatari sana.
Wachina wakishika Bandari wakijenga kwa miaka 99 hakuna kodi ya Bandari, hakuna kipato serikalini, we depend sana kwenye mapato ya bandari, hivi hata huo mshahara spika atapata kweli?
Miaka 99 au 50 tusiwe na Bandari, yaani Chinese millitary waendeshe, sisi tutamalizwa na madini na rasilimali zoteee zitaisha nchii yetu.. Yaani Spika bado hajawajua Chinese hadi leo hii anawaita marafiki? Mchina wa leo unamwita Rafiki?
Mungu tusaidie jamani
Poor jiweMagufuli kiukweli bila unafiki kaumiza watu wengi mno na hakua na vision nzuri ya uchumi
Eeenh Heee,Tangu lini mtanzania umfundishe na umlee atafuata nyayo zako na maono yako? Nyerere aliwalea wangapi na angalia matokeo. It's genenis
Mbona karibu miradi yote aliyoifanya iliasisiwa na Kikwete mf, upanuzi wa uwanja wa ndege wa Julius Nyerere.Sina uhakika Ila Maghufuli alitaka hao wachina wamsupport kwenye SGR badala ya bandari , istoshe isingempa sifa yyte sababu ni idea za Mzee wa msoga. Nao wakaingia mitini baada ya kuona SGR haina manufaa na ni complete loss hasa kwenye operations zake ukilinganisha na Bandari, Sina uhakika Sana Ila JPM alipiga U-Turn.
Ukweli ni kuwa jiwe hakutaka kuingiliwa ndo mana wasaidizi wake walimsupport ili wapate pa kula, Ndugai yupo sahihi ,mradi uangaliwe upya. Pengine Yule mchina aliyeenda chato alikuja na mission yake ya kummaliza jiwe. Nawaza Tu lakini
Nawasalimia kwa jina la JMT
. Salamu ya mama inaakisi kichwa cha habari yangu. Magufuli alikuwa mwanadamu pambio za baadhi yetu kumtukuza ilikuwa ni mahaba makubwa waliyokuwa nayo juu yake, ukiachana na wale waliompamba kwa kilermba cha ukoka. Ndugai na wanasiasa viongozi wengine wanaomkosoa sasa JPM wakati kila siku walisifu sera zake ni wanafiki tu. Tumerudi enzi za Siasa = Uongo + Manufaa binafsi`Nawasalimia kwa jina la JMT
. Salamu ya mama inaakisi kichwa cha habari yangu. Magufuli alikuwa mwanadamu pambio za baadhi yetu kumtukuza ilikuwa ni mahaba makubwa waliyokuwa nayo juu yake, ukiachana na wale waliompamba kwa kilermba cha ukoka.
Nashauri tuachane na kumlaumu, kumkosoa na kumdhihaki kwani haitusaidi kama Taifa, turekebishe makosaa aliyofanya kama binadamu tusonge mbele.
Roho mbaya itaendelea kuwatafuna Mataga,Hadi watakapotubu.Mliwaibia wapinzani haki yao ya kuwa bungeni mkifikiri ya kuwa mkiwa wenyewe mtakuwa salama!