Recent content by stan sn

  1. S

    Niezeke bati la kiwanda gani kati ya Alaf na Sunshare?

    Hali ipoje mpaka sasa mkuu kwa bati ya dragon?
  2. S

    Roho inaniuma sana, mabati niliyoezekea nyumba yangu yamepauka sana

    Naomba namba yako aise, au kama hutojali nitafte 0694525084 nahitaji very urgent mkuu.
  3. S

    Mliowahi kutumia bati za kampuni ya BATI BOMBA LTD au kampuni zozote ndogo za mabati

    Naomba mrejesho wa hizo bati za Taishani kwa mwaka huu 2024, bado zina hali nzuri? Nataka kufanya maamuzi mkuu.
  4. S

    Najuta! Madada Poa wa Morogoro sio poa kabisa

    Yaani hadi pombe ukaenda nazo room kama vile demu wako? 😂😂 Usirudie tena. Ukiona vipi we chukua room mbili.Moja weka kila kitu hadi simu, nyingine ndo mlale nyie. Na funguo ya hiyo room kaweke reception.
  5. S

    Tazama ushahidi huu wa kimahesabu wa Michango ya Lissu Unaothibitisha CHADEMA haifikishi wanachama hata million Moja

    Chama chenye watu kama wewe wanaofanya analysis za kitoto kama hizi, ni chama ambacho kinaleta umaskini mkubwa kwa watanzania. hakifai kuendelea kuongoza nchi hii.
  6. S

    Mpenzi wangu analalamika simtafuti

    Kama unampenda kweli, mtafte
  7. S

    JE WAJUA?

    Tusifananishe ikulu ndogo na ikulu kama ya Dar au chamwino. Huko kwingne ni kulala na kusepa tu Sent using Jamii Forums mobile app
  8. S

    Mwanaume changia hapa, mwanamke atakayekupa like zama naye PM

    Mimi nasubiri like zenu wadada mwaka 2019 uwe wa ndoa Sent from my iPhone using JamiiForums
Back
Top Bottom