hii ya dawa za kulevya kwa watanzania ni sawa na kujaribu kushinda kivuli ili hali jua ni la utosini,bila juhudi za dhati sidhani kama aibu hii tutaikwepa kipindi cha nyuma ilikuwa wizi wa benki kwa kutumia silaha kali tena sehemu nyingine wahusika ni askari wetu sasa wamegeukia...
ni kiangalia jamii yangu ya tanzania hii leo si oni kama kuna uwezekano wa kupata elimu inayo jitoshereza na kuweza kumpa kijana uwezo wa kupambanua mambo ktk ulimwengu huu wa utandawazi ikieleweka kwamba bado miaka miwili na sehemu kufikia malengo ya millenia!je tutafika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.