Tamisemi sasa hivi wanaendelea na zoezi la uhakiki wa taarifa za watumishi ikujumuisha na hamisho zilizofanyika huko nyuma
So itategemea maauzi watakayotoa baada ya kumalizika zoezi hilo
1 kuhamisha taarifa zake kituo kipya
2 kurudi kituo cha zamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.