Recent content by stahimil Joseph

  1. S

    SoC04 Tanzania of Change: Safari ya Mabadiliko Endelevu

    Samahani Eti matokeo kwa hili shindano ni lini?
  2. S

    SoC04 Tanzania of Change: Safari ya Mabadiliko Endelevu

    Samahan Eti matokeo yatatoka lini?
  3. S

    Nitampigia kura kila mshiriki wa shindano la Stories of Change

    Samahanini, natamani kupiga Kura ila sijui mwisho lini na nafanyaje
  4. S

    SoC04 Tanzania of Change: Safari ya Mabadiliko Endelevu

    SAFARI YA MABADILIKO ENDELEVU. Tanzania kama zilivyo inchi nyingine inakabiliwa na changamoto lukuki za kimaendeleo, mfano Kwenye sekta ya elimu, miundo mbinu, uchumi na afya hivyo kunahaja kubwa ya kuchukua hatua mathubiti ili kuhakikisha maendeleo endelevu na mafanikio ya wananchi wake, kwa...
  5. S

    SoC04 Tanzania of Change: Safari ya Mabadiliko Endelevu

    SAFARI YA MABADILIKO ENDELEVU. Tanzania kama zilivyo nchi nyingine inakabiliwa na changamoto lukuki za kimaendeleo, mfano Kwenye sekta ya elimu, miundo mbinu, uchumi na afya hivyo kunahaja kubwa ya kuchukua hatua mathubiti ili kuhakikisha maendeleo endelevu na mafanikio ya wananchi...
  6. S

    Kanisa la Wasabato lawatimua wachungaji wanaopinga fundisho la Mungu wa utatu

    Ndugu zangu katika BWANA kama unaamini biblia utakubali kuwa MUNGU ni mmoja mwenye nafsi tatu soma Mathayo 28:19 biblia inakubali hivyo, lakini ushauri wangu usikubali pokeo lolote la wanadamu kubali neno la MUNGU tu la siivyo utapotea
  7. S

    Mungu na Binadamu tumegawanyika mara tatu

    Hahahah usitoke kwenda kumtazama huyo siye YESU original
  8. S

    Wakuu naomba mnieleweshe concept ya Mungu katika ukristo

    kama unaamini bible utakubaliana nami kuwa YESU KRISTO ni MUNGU, bible inasema hivi,yohana 1:11 wakukuja kwake wala walio wake hawakumpokea Kristo huyo, Mathayo 28:19 inasema .... wanafunzi wabatizwe kwa jina la BABA, MWANA na ROHO MTAKATIFU, biblia inasema kama tukimwamini mwana wa MUNGU...
  9. S

    SoC04 Tanzania inahitaji kuchukua hatua za haraka katika sekta hizi ili kufikia viwango vya juu vya mabadiliko

    Tanzania kama zilivyo ichi nyingine inakabiliwa na changamoto lukuki za kimaendeleo, mfano Kwenye sekta ya elimu, miundo mbinu, uchumi na afya hivyo kunahaja kubwa ya kuchukua hatua mathubiti ili kuhakikisha maendeleo endelevu na mafanikio ya wananchi wake, kwa ushirikiano wa serikali, sekta...
Back
Top Bottom