Maneno yako Tupatupa yanaashiria we ni mwanaCCM yule mtiifu wa kipindi kile cha misingi ya umoja na mshikamano wa kichama hasa katika miiko na menendo sahihi ya chama kuwatumikia wananchi ila acha mafumo we pwayuka tu watakuelewa wanachama wenzako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.