Ndugu Magufuli kama kweli anataka nchi iendelee na iwe ya viwanda na lazima tuwe tunazalisha kwa mwaka minimum megawatt 5,000 kama kweli tuko serious na sio hizi ngonjera za uchumi wa viwanda na umeme wa power bank za sim.
Serikali yake imeishia kufanya propaganda na ma gimmicks kila kukicha...
Safi sana, bora tukawa na uzi mmoja kuhusu huyu Mkwere. Dah naamini kweli huyu ni mtembeaji JF. Jana kaanzishiwa uzi kuwa kachoka leo kaibuka. Eidha ana team nzuri ya propaganda au yeye mwenyewe ni experienced propagandist. Considences zimekuwa nyingi mno
Hizo Pamba zake ni kuliko wanae. Huyu...
Kwa miaka 10 mfululizo tulikuwa tunawakilishwa kwenye huu mkutano wa WEF rule Uswisi na Rais Jakaya Kikwete na wengine wana estimate kuwa kila trip moja ilikuwa ina chukua si chini ya billion 5 kwani akitoka Davos huelekea Addis kwenye mkutano wa AU. Na nakumbuka Mwingine ulifanyika hapa Dar...
Hivi wana Jamiiforums, kimya cha Tanzania Investment Centre (TIC) wako kimya kuhusu hivo incentives alizopewa Dangote?
Bosi wao (Waziri Mwijage) alisema kuwa Dangote aliomba vitu vingi sana apewe bure, Waziri Mhongo akamuunga mkono. TPDC jana wakaamka baada ya kuulizwa watoe maelezo na Ikulu na...
Men lie women lie numbers don't lie
Ni nani anawatumia TPDC na Ewura kutoa taarifa za uwongo kulipotosha taifa juu ya sakata la Dangote?
Kwa nini Mawaziri Muhongo na Mwijage waliita press conference na kusema kuwa Dangote alitaka gesi ya BURE?
Sasa imekuwaje juzi TPDC wametoa taarifa kuwa...
Serikali yetu imeshindwa ku keep up with Twitter na dunia ya leo ambayo news zinasambaa kwa sekunde.
Waziri Mwijage ataitisha press conference ku condemn mitandao ya kijamii (Translation ni JAMIIFORUMS) kwa kueneza hizi habari
Sasa mpaka jina la waziri huska wa Kenya lipo hapo
KENYA WATENGA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.