Kwa wakazi wa Mwanza natafta manual work yoyote halali salary kuanzia 200k per month. Karibu sana wana Mwanza 0625682899. Elimu yangu ni SHAHADA (ila chet nimeshaamua kukiweka pemben kwanza)
Kama nilivyoeleza hapo juu account yangu ya fb inaonesha Nina account nyingine mbili ambazo mm sizijui na kufanya nionekane nina account tatu ambazo Kila Moja inaweza kuswitch kw nyingne na hii imefanya nikifungua fb nakutana na notifications nying upande wa messager, fb account hzo zimechat na...
Umeeleza vzr naomba pia unifafanulie ukiacha lutu na mabinti zake baada yakuangamizwa wale wengine Kuna jamii nyingne ilikuwepo, kama hakuwepo hao waisrael walitoka wapi na hao watoto wa wawil wakiume waliozaliwa na hao mabinti waliwaoa akina nan ndo tukapata hzo jamii mbili. Natanguliza shukrani
M nadhan vijana wapikwe haswa wawe wazalendo na kuwe na mitihan ya kupimwa uzalendo na mitihan hii iwe Siri wapimwe bila wenyewe kujua kama wako kwenye majaribio hii itasaidia kujua hali ya uzalendo wa mtu kw nchi yake kabla yakuwapa majukum makubwa ya nchi
Pindi niko chuo nilikuwa naipenda sana hii movie Kuna kipind ilifika yule dogo handsome akapata umaarufu had akawa anamdharau mshikaji wake anayemtengenezea nyimbo nakumfanya kuwa star Kuna siku Tyler James Williams alimkuta jamaa yake yuko club navidem akamtolea uvivu vurugu likawa kubwa had...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.