Tuwe serious wengine watu wazima wenzangu wenye uwezo wa ku reason out,
Umeambiwa Chamwino State house Ni kubwa ,Kama UDOM unaanzaje kutembea kwa mfano ?
Au chukua,Mfano Mtu atoke Terminal 1 kwa mguu aende Terminal 3 kwa umbali huo eti kisa ana punguza gharama,jamani Sasa hivi Uhuru umekuwa...