Recent content by Spicegold

  1. S

    Mtandao wa Vodacom unasumbua sana kwa sasa

    Ukifanya Transaction usiku ujue imeliwa,anything with LIPA Namba au Selcom lazima wakulize,Voda iko ICU
  2. S

    Rais Samia, Mauaji ya Mushi, Tafadhali Chukua Hatua Mapema Dhidi ya Uovu wa Polisi.

    Most of the Police are illiterate and unfortunately it's hard for them to be transformed
  3. S

    Wanaotafuta kazi kwenye NGO eleweni hili

    Kuna nafasi za cashier UDART zimetoka Leo Applicant lazima Uwe na At least Diploma in Business Adiminstration ,nafasi ni 42 tu,Kwa ninavyojua Hadi vijana wenye Shahada wataomba kutokana na ukosefu wa ajira nchini .Mtazamo wangu ni kuwa tayari Kuna vi "Memo" vishapenyezwa Hilo la kutangaza ni...
  4. S

    Rais Samia analala nje ya Ikulu?

    Usijitoe ufahamu umeelewa Sana kilichoandikwa
  5. S

    Rais Samia analala nje ya Ikulu?

    Tuwe serious wengine watu wazima wenzangu wenye uwezo wa ku reason out, Umeambiwa Chamwino State house Ni kubwa ,Kama UDOM unaanzaje kutembea kwa mfano ? Au chukua,Mfano Mtu atoke Terminal 1 kwa mguu aende Terminal 3 kwa umbali huo eti kisa ana punguza gharama,jamani Sasa hivi Uhuru umekuwa...
  6. S

    Thawabu niliyoipata kwa kuepuka kuzini na wanafunzi

    Nataka nijue ilikuwaje mpaka akamwambia?
  7. S

    Rais Samia toa tamko kuhusu NSSF kujiamulia Sheria iliyozuiliwa na Hayati Magufuli mpaka 2023

    Covid imeleta shida sana sector ya Utalii Kuna staff wamestaafishwa Wana 45years of age asubiri 10 years ,ndo aanze kulipwa ,asubiri Tena 5 years ndo apewe pesa zake zote. Ila kila siku mi naamini hiki kikokotoo kitakuja kurekebishwa huyu Mama Samia analijua Suala hili inshallah tuwe...
Back
Top Bottom