Recent content by spark4

  1. spark4

    Jirani anafuga nguruwe wananikera sana, nifanyeje ili wafe?

    Jaribu kula nyama yake ni tamu balaaa mwishowe utawapenda tu.
  2. spark4

    Swali: Haya mafuta yaliyopanda bei yameingia lini nchini?

    Bila shaka wewe ni member wa Mataga
  3. spark4

    Hivi ziwa Victoria limefika hadi Shinyanga?

    Sehemu ya shinyanga iliyokaribu naziwa Victoria ndio imeipa hadhi Shinyanga kuwa Kanda ya Ziwa. Yapo maeneo ambayo yapo mbali saba na Ziwa Victoria yanamwonekano tofauti, jua kali,kukame ,hewa kavu n.k.
  4. spark4

    PICHA: Mwanadada ambae Sabaya alimchumbia

    Bado bashite
  5. spark4

    Young Africans Sports Club (Yanga) | Special Thread

    Utopolo anaweza kufungwa lakini timu ya Young African Sc haifumgwi na Azam Sc.
  6. spark4

    Jihadhari na wezi wanaojiita AFRICELL

    Kupitia account yangu ya what's up waliniunga kwenye group lao .Nashukuru Mungu Hadi Leo sijawahi kuwekeza licha ya kunitaka nifanye hivyo.
  7. spark4

    Naumia sana Mtu wangu wa karibu akifanikiwa, inanidhoofisha mwili

    Mkuu ili ufanikiwe furahia mafanikio ya wengine nenda kajifunze kwao. Ukiwachukia hautaweza kujifunza kwa walifanikiwa.
  8. spark4

    Huyu ndiye mwanadamu

    Binadamu haridhiki
  9. spark4

    Hufikiria vitu vya msingi nikiwa bafuni

    Nikiwa nakata gogo ndio sehemu yangu nzuri ya kupanga mipango ya kutekeleza muda mfupi unaofuata Sent using Jamii Forums mobile app
  10. spark4

    Nilitengwa kanisani kwa sababu ambayo siijui

    Dunia Ina mambo Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom