Akiwa na matatizo atahitaji aonewe huruma na kila mtu bt matatizo yakiwa kwa wengine atacheka na kukejeli.
Akiiba/kudhulumu atasema shetani alimpitia bt wengine wakiiba/kudhulumu atahukumu kua yule ni mwizi.
Akizaa mtoto ana kasoro atasema ni mipango ya Mungu bt akimuona kwa wengine atacheka na kudhihaki as if yule mtu kajiumba mwenyewe.
Mwanaye akibeba mimba yupo shule atasema maisha sio shule tu bt kwa watoto wa wengine atasema watoto hawana malezi wale au ni malaya sana watoto wale
Ukifukuzwa kazi atasema ngoja akome bt kama ni yeye atahitaji aonewe huruma na wote.
Ukimweleza shida yako ataitembeza kila kona bt yeye akikueleza atataka umtunzie siri.
Ukimuamini atakivunja kiapo cha uaminifu bt wewe akikuamini anataka ukidumishe kiapo cha uaminifu
Binadamu hasomeki kabisa hivo chukua tahadhari mapema
Akiiba/kudhulumu atasema shetani alimpitia bt wengine wakiiba/kudhulumu atahukumu kua yule ni mwizi.
Akizaa mtoto ana kasoro atasema ni mipango ya Mungu bt akimuona kwa wengine atacheka na kudhihaki as if yule mtu kajiumba mwenyewe.
Mwanaye akibeba mimba yupo shule atasema maisha sio shule tu bt kwa watoto wa wengine atasema watoto hawana malezi wale au ni malaya sana watoto wale
Ukifukuzwa kazi atasema ngoja akome bt kama ni yeye atahitaji aonewe huruma na wote.
Ukimweleza shida yako ataitembeza kila kona bt yeye akikueleza atataka umtunzie siri.
Ukimuamini atakivunja kiapo cha uaminifu bt wewe akikuamini anataka ukidumishe kiapo cha uaminifu
Binadamu hasomeki kabisa hivo chukua tahadhari mapema