kamwene vanyalukolo
Member
- Sep 10, 2019
- 72
- 74
Habari wadau
Muumba katuumba tofauti kimaumbile, kitabia, kisura na hata uwezo wa kufikiri.
Hali kadhalika kila mmoja huwa ana eneo lake mahususi (baa, chumbani, jikoni, sebuleni,chooni, bafuni,ofisini nk) ambalo hua anakua huru na linamfanya afikirie/ajipangie mikakati mbalimbali ya maisha yake.
Bafu ni chumba muhimu sana kwangu kwani ndiko ninakotumia muda mwingi kufikiria na kupanga mikakati ya maisha yangu, hua natumia dk 15-25 na hutegemea uzito wa wazo ninaloliwaza siku husika.
Binafsi nishaizoea hii hali na familia yangu ishanizoea xx kua nikiingia bafuni sitoki chini ya dk 15.
Je wewe huwaza vtu vya msingi ukiwa eneo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Muumba katuumba tofauti kimaumbile, kitabia, kisura na hata uwezo wa kufikiri.
Hali kadhalika kila mmoja huwa ana eneo lake mahususi (baa, chumbani, jikoni, sebuleni,chooni, bafuni,ofisini nk) ambalo hua anakua huru na linamfanya afikirie/ajipangie mikakati mbalimbali ya maisha yake.
Bafu ni chumba muhimu sana kwangu kwani ndiko ninakotumia muda mwingi kufikiria na kupanga mikakati ya maisha yangu, hua natumia dk 15-25 na hutegemea uzito wa wazo ninaloliwaza siku husika.
Binafsi nishaizoea hii hali na familia yangu ishanizoea xx kua nikiingia bafuni sitoki chini ya dk 15.
Je wewe huwaza vtu vya msingi ukiwa eneo gani?
Sent using Jamii Forums mobile app