mmm Mimi sioni uwezekano wa NCHI ya viwanda,kwa hali ya kisiasa ilivyo nchini sijui kama wawekezaji wanaweza kuja, mpaka sasa bado sijasikia mikakati yoyote ya nchi ya kusadikika ya viwanda.NASIKIA wanataka kupandisha bili ya umeme
eti viwanda , mwaka umekatika bado sijaviona. ,kwa hii CCM ninayoijua Mimi mtasubiri sana sasa ajenda imebadirika toka NCHI ya viwanda hadi kupambana Na vyama VYA upinzani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.