Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Jibu ni rahisi - 45% ilitokea kwa sababu mgombea aliazimwa kutoka CCM.Aisee ! Hizi 'tafiti' za Twaweza zinaniacha hoi ! Sasa wanaposema 2013 CHADEMA ilikuwa inakubalika kwa 32% na kukubalika huko kukawa kunashuka mpaka 17% mwaka 2017, ilikuwaje mgombea urais kupitia CHADEMA akapata zaidi ya asilimia 45 ya kura zote? Tena
matokeo ya utafiti wa Twaweza yanasema CHADEMA inakubalika zaidi miongoni mwa vijana. Kama vijana ni zaidi ya 60% ya Watanzania, inakuwaje asilimia ya wanaokubali CHADEMA iwe 17% tu? Sioni mantiki ya matokeo haya.