Pole shost yaan uko kama mie nataman nipungue dah ila bora yangu mwenzio nina watoto ila kwa ww kazanaa upungue mwaya usijaribu kitumia dawa ninae mama yangu mdogo alipata madhara kisa dawa hizo usikurupuke tafadhal utakuja juta
Mtoto hawez haribika mi ilisha nitokea nilibeba ujauzito mtoto akiwa na miez mitano nikashauriwa na daktar kuwa ninyonyeshe hadi mimba ikifika miez saba nimuachishe na wala mtoto hakuharibika nilimnyonyesha mimba ilipofikisha miez saba nikamuachisha
Mtoto hawez kudhulika na chochote mi iliwahi nitokea hiyo na sikuacha kunyonyesha nilimnyonyesha mtoto hadi mimba ilipofika miez saba nikaacha kwa kuwa daktar alinambia ikifika wakat huo kuna yale maziwa muhimu kwa mtoto mtarajiwa yanatengenezwa hivyo akiendelea kunyonya atanyonya virutubisho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.