Ndugu Polepole kwa nini hujibu maswali unayoulizwa kuhusiana na tuhuma za mgombea wa CCM? Kama mgombea wa UKAWA aliyakataa maoni ya wananchi kupitia ile tume ya Mh.Warioba, je huyo wa CCM unayemkumbatia pamoja na mgombea mwenza wake waliyakubali maoni ya wananchi? Polepole nilikuheshimu sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.