Recent content by SOTOCA

  1. S

    Usahihi: Dr. Slaa yupo CHADEMA

    Tunashukuru kwa taarifa muhimu uliotuletea. Ila tunaomba Dr ajitokeze hadhalani na kukanusha habari hizi vinginevyo inavuluga uma ulioko nyuma ya chama pendwa CDM. Watu tunakosa hapetite ya kula kwa sababu ya kusikia nguzo ya CDM inataka kuondoka.
  2. S

    Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

    98.1 Sijajua vizuri ni redio gani, lakini mimi ndo naitumia, juzi, jana hata sasa nasikiliza muda wote.
  3. S

    Mwenyekiti wa CHADEMA Temeke Joseph Yona, apigwa na kuumizwa vibaya!

    Tukigundua unatuletea unafiki katika harakati za kutafuta ukombozi wa pili wa taifa hili lazima upigwe, Na mimi nasema wapigwe tu.
  4. S

    Barua ya wazi kwa mheshimiwa Dickson Maimu Mkurugenzi mkuu wa NIDA

    Hiyo yenyewe ya kufanya kama kibaru hapo NIDA haikuwa rahisi ni baada ya kuwa nymbani kwa mda wa miaka kama nne tano hivi. Labda kama una sehemu unajua yaweza patikana kazi nyingine nitonye mwenzio.
  5. S

    Barua ya wazi kwa mheshimiwa Dickson Maimu Mkurugenzi mkuu wa NIDA

    Serious huu ni unyanyasaji, Mimi mke wangu yuko huko NIDA kama data entry, Week iliyoisha yote aliniambia walikuwa wanaenda kigamboni kupiga watu picha na kuchukua alama za vidole (biometric). Cha ajabu alikuwa anatoka nyumbani saa 11 alfajiri na kurudi kwake saa 3 usiku, na hapo anamuacha...
  6. S

    UCHIZI katika Nchi: Kauli ya Mch. Gwajima...

    Ukweli mtupuuuuuuuuuu! Hajapepesa macho, hajang'ata maneno wala kutikisa maskio.
  7. S

    Mbowe aupatia ufumbuzi mgogoro wa CHADEMA Karatu!

    Heko Mh. Mbowe, Zidumu fikira za M/Kiti. Magamba yakimuona na kumsikia Mbowe hutetemeka.
  8. S

    Kauli ya Lema

    Huyu jamaa ni noma. Nafikiri ni kwa sababu watu wengi tunamuombea, hata wasiompenda hufanya hivyo kwani kwa kulitaja jina lake tu tayari unamuombea kwa Mungu GODBLESS LEMA (Mungu mbariki Lema). Ameni.
  9. S

    Hisia za wananchi wa Jimbo la Arusha (M), muda mfupi baada ya Lema kushinda rufaa

    Hongera Kamanda Lema kwa kumaliza Honey moon. Tunaomba ututathiminie mazuri na mabaya ya kuwa huko (HM).
  10. S

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Haijawahi kutokea Giza kushinda NURU
  11. S

    Lema ashinda rufaa dhidi ya ubunge wake!

    Kwa wana janvi wote mulio live, Jamani hii habari ya kweli kwamba tayari majaji wameishatoa ruling kuhusu kesi ya Lema? Mbona media/radio hawajatangaza? Niko nasikiliza RAdio 1 wanipe habari kupitia breaking news yao lakini hawatoi.
  12. S

    Mtoto wa Dkt. Salmin, Amin Salmin amkana 'ndugu jambazi' Kassim Ramadhan Juma (27)

    Mume wa Mama yako ndiye Baba yako. Huyu Amin vipi? Pengine Baba yake alianza kumpenda mama mtu mapema na alivyonogewa akaamua kumuweka ndani kabisa.
  13. S

    Juu ya tuhuma kwa Zitto na kundi lake kutoka kwa Mamuya...

    Nagonga hodi jamani naomba mniitikie, mwezenu ndio mara ya kwanza kuchangia japo nimekuwa nikifatilia mijadara kalibu yote inayoletwa humu. Ahsante Ben Saanane baada ya kuona M/Kiti na Katibu si rahisi kuwachonganisha umeamu kuwa upande wao "If you can't beat them, join them". Hii si bure kila...
Back
Top Bottom