Ipo siku hamtaamini ukweli utakuwa wazi na kila mtu ataona na kusikia baada kuhamgaika dunia yote kuchafua na kutangaza kuwa serikali ndio iliyoratibu na kutaka kumuua LISU mtaona miujiza kumbe umdhanie sie , kidogo juzi mmepata fununu na bado mtapata mengi kuhusu mtuhumiwa nkuu wa haya maovu...
Ni mjinga tu pekee atasema kuwa Rais hakuonyesha sympath .Unakumbuka Makamu wa Rais alienda Kenya kumtembelea Lisu Hospitali , huoni kua huyu mgonjwa hana kumbukumbu
Zito huwa ni muongo sana na anapenda kulia ili watu au wananchi waone anaonewa lakini ndumilakuwili na hapo kuna watu wapo wanaingizwa KING mtakuja sikia anajifanya yupo pamoja nao kumbe anawaliza hafai kabisa.
Wewe unaonekana ni mfaidika wa watoroshaji hao. Dhahabu yoyote inayotoka kwenye uzalishaji ina mhuri wa TRA na Afisa madini na haiwezi kuwa nyingi kiasi hiki.
Acha ujinga na uchochezi usiokua na maana , sheria huwa zinapitishwa na bunge na Bunge lilipitisha sheria ya kuunganisha mifuko lakini sasa suala la kanuni ni suala la Wizara husika tu
Ukitaka kujua binadamu walivyo hasa ukiwa na akili hizi za huyu muandishi wa hii post ndio utashangaa sana kwa tabia na fikra finyu ambazo hata taahirra nadhani hana . Unatakiwa kujua Rais ni Taasisi na ina watu wengi wataalam wa mambo mbalimbali . Pia Rais na tasisi yake huwa hawakurupukii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.