Mtoa rushwa na mpokea rushwa wote wana makosa. Tambua kuwa wewe pia una makosa kwa kutoa hiyo elfu 10. Wangekupeleka tu kituoni ili ukatoe zaidi ya hiyo.
Huwa najiuliza kabla Wakoloni kwa maana ya Wazungu na Waarabu kutuletea dini wakitumia wafanyabiashara, wamishenari na wapelelezi, (traders, missionaries and explorers), wazee wetu huku Afrika waliabudu katika dini gani? Je kwakuwa dini za kigeni hazikuwepo ina maana watu wote walioishi nyakati...
Wakati akikanusha video iliyosambaa mitandaoni kuhusu goli la mkono (uchakachuaji wa matokeo wakati wa uchaguzi), waziri wa habari na mawasiliano na teknolojia ya habari, bw Nape Nnauye alitujuza kuwa yale aliyoongea katika kipande cha video iliyosambaa mitandaoni ulikuwa ni utani tu, haikuwa...
Kauli iliyotolewa na afisa habari wa Yanga bw Ally Kamwe kwa kuwaita wa ovyo watu waliotinga mahakamani kupinga uhalali wa uongozi wa Yanga na kupewa ushindi ni kuidharau Mahakama iliyotoa hukumu na kuwapa ushindi watu hao baada ya kusikiliza madai yao na kuona yana mashiko.
Nadhani ule muda...
Wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao kwenye soko lililopo stendi ya mabasi Simu 2000 wamelaani vikali baadhi ya kauli zilizotolewa na Mkuu wa mkoa Dar es salaam, Bw Albert Chalamila baada ya mgomo uliofanywa na wafanyabiashara hao hivi karibuni.
Akizungumza na wanahabari, Mwenyekiti wa...
Huwa najiuliza hivi aliyeidhinisha ujenzi wa makao makuu ya Mwendokasi pale jangwani, Kando ya mto Msimbazi ambapo mvua ikinyesha panageuka kuwa makao makuu ya vyura na kambare ndiye huyohuyo anayepiga marufuku wananchi kujenga 'mabondeni' Na ndiye huyuhuyu anayepanga kujenga karakana ya...
Tanzania ni miongoni mwa nchi za Kiafrika zinazokabiliwa na tatizo kubwa la ukosefu wa ajira kwa vijana wasomi wanaohitimu katika taasisi mbalimbali za elimu ya juu.
Utafiti uliofanyika mwaka 2019 na Taasisi ya utafiti wa kupunguza umasikini (REPOA) ilionyesha takribani vijana milioni moja...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.