Boss, wanavohamisha hamisha mawaziri kijinga jinga. Leo waziri wa maji, kesho waziri wa katiba, keshokutwa waziri wa ujenzi. Unataka kunambia yoote hayo wanakua wame specialize?
Period!
Kila ukikatiza mitaa mbalimbali nchini Morocco utakuta mabango, matangazo mbalimbali, binafsi au ya serikali, majina ya mitaa, kila kitu kimeandikwa kwa lugha mama ya kiarabu kisha kwa maandishi madogo yametagsiriwa kwa kiingereza. Na tunafahamu kwamba Morocco ndio inaongoza kwa utalii nchini...
Yes, uko sahihi. Lakini most of bosses hawapendelei ilo maana wanajua muda wowote wanapoteza nguvu kazi kama mfanyakazi wao ataachana na utegemezi wa mshahara wa kampuni husika.
Kwa wale " tuliobahatisha" kupata kazi kwenye makampuni binafsi, pamoja na mshahara tunaopata, haijalishi ni mkubwa au mdogo, kama hatufanyi kile tulichokikeshea miaka nenda rudi, yafaa tuwe makini sana maana tunahatarisha career goals zetu!
Kampuni nyingi zinadidimiza ndoto za wengi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.