Recent content by Sophiaengineer

  1. S

    JamiiForums Tanzania Bodi ya Mikopo (HESLB) Badilikeni mnakera kwa usumbufu huu

    Kiukweli wanaboa...wajipange kuboresha huduma zao..ni mbovu mno
  2. S

    JamiiForums Tanzania HESLB hawawajibiki vya kutosha

    Yani wanaboa...nimewatumia email mara tatu kuulizia statement, hadi leo kimya...huduma zao ni mbovu sana..ni kama wamekurupuka, wajipange vizuri.
  3. S

    JamiiForums Tanzania Bodi ya mikopo (HESLB) wafungiwa milango na waajiri

    kazi wanayo, ni bora wajipange kutumia mbinu rafiki na wajifunze utunzaji mzuri wa taarifa za wadaiwa la sivyo watasumbuka sana...waangalie na hali ya maisha, 15% ya mshahara ni kubwa sana.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Yanga hoi kwa Azam, yasambaratishwa magoli manne bila majibu

    raha sana...simba tunawasubiri wapate kipigo kingine..!
  5. S

    JamiiForums Tanzania korean drama

    Kissasian.com
  6. S

    JamiiForums Tanzania swali

    ..bado..
  7. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutafuta kazi jamani

    ..ooh, hapo kwenye jina..ni fumbo kweli kweli, bt by tomorrow, ntakua nishakujua ni nani..lol, all th best.
  8. S

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutafuta kazi jamani

    ..hmm, then I must know u Menison, anyways as ur ex-classmate, nakushauri usikate tamaa.It's hard kukwambia jinsi ya kutafuta kazi...kila mtu atakupa basics tu, cha msingi mtangulize Mungu, andaa CV na cover letter vizuri, wasiliana na classmates wengine wakupe michongo ya kazi. Kuna classmates...
Back
Top Bottom