Kamishina jeneral amekusikia na amefanya operation kubwa ndan ya wiki tatu ya kuteketeza mashamba ya bangi pembezoni mwa mto Mara .Pia amewapa miez mitatu wana Mara kuacha kulima bangi wakikaidi atafanya operation kwa njia nyingine.Kipekee nampongeza sana kamishina Jeneral kwa kazi kubwa...
Wakulima wengi wanalima viazi mviringo kwa sasa mikoa ya Njombe na Mbeya watu wengi wanavuna.. Kwa wanaojua masoko ambayo tunaweza kuuza kwa bei nzur tuwasiliane hapo chini.
Lakini pia kama una mzigo wako tuwasiliane hapo chini tutafute masoko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.