U atakiwa kwenye andiko la mradi wako uongeze ardhi ifike ekari 100 na pia uainishe ain ya mazao utakayolima. Pia uongeze na ubebaji wa mazao pamoja na mizigo kwa kipindi cha kiangazi, malipo ya operator na maintainance n.k
Habarini wana Jamvi,
Kuna binti kaweka kijiti miezi mitatu iliyopita. Cha ajabu ni kwamba hajaingia period kwa muda wote huo na ameshindwa kupata ufumbuzi wa hili. Nimelileta kwenu wataalam naomba mnisaidie kumshauli ili awe sawa.
Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.