Recent content by SongombingoJr

  1. S

    Tabia za Mabosi waliopo kwenye Taasisi zenye njaa

    Wataje bhana. Au uzi umekugusa?
  2. S

    Tabia za Mabosi waliopo kwenye Taasisi zenye njaa

    Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo; 1. Roho mbaya 2. Kila...
  3. S

    Yaliyojiri katika kesi ya Freeman Mbowe na wenzake, kesi imeahirishwa mpaka 15, Nov 2021

    Ndio maana wanaamua kuajiri failures, kuna dogo hapa kitaa aliomba nafasi za polisi zilizotangazwa hivi karibuni lakini wamemkataa kwa sababu O-level alipata divisheni 3.
  4. S

    Kutolewa kwenye mashindano Biashara united ni uzembe wa TFF na Waziri mwenye dhamana

    Hii Hii Wizara haina Waziri kwa sasa. Kwani mnamuona kwenye matukio gani siku hizi?
  5. S

    Simba SC hatutashiriki Kagame CUP, tunapumzika kwanza

    Sisi Mashabiki wa Simba kwenye mashindano haya tunahamia Azam. Au mnasemaje ndugu zangu.
  6. S

    Maandamano nchi nzima kupinga kupanda gharama za maisha

    Jamani tuendelee kula mtori. Nyama tutazikuta chini.
  7. S

    Je, ambao hamkupandishwa daraja mwezi uliopita kuna mtu amepanda au ndio tunasubiri bado?

    Acha kumshauri vibaya. Mwambie afanye kazi za Serikali kwa shingo upande lakini pia aanzishe project zake binafsi aweke bidii zaidi huko.
  8. S

    Mbinu hii ya Yanga SC si tu ni ya Kishamba bali pia ni ya Kipuuzi vile vile

    TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwachukulia hatua hawa UTOPOLO. Naona tangu TFF walipoamua kumuachia Braza Kitambi UTOPOLO wanajiona wana nguvu ya kutoa maelekezo kwa TFF.
  9. S

    BAKWATA ifuate mfano wa KKKT

    Dua zao huwa hazikubaliwi hawa ni wanafiki, uwaambie kupora misikiti na kugombania mapato ya misikiti.
  10. S

    Kwa kweli leo nimewakubali wachezaji wa Simba

    Utopolo hawajielewi kabisa
  11. S

    Mfumo wa Lawson haupatikani; Tatizo ni nini?

    Huu ni ujanja unafanyika kukwepa kuwapandisha madaraja watumishi.
Back
Top Bottom