Kuna tabia mbalimbali wanakuwa nazo mabosi (hasa watendaji wakuu) wa taasisi za Serikali kama vile mabaraza, bodi, tume na baadhi ya Wizara . Taasisi hizi nyingi hazijiwezi hata kujiendesha vizuri. Watendaji wakuu/mabosi wa taasisi hizi wengi huwa na tabia zifuatazo;
1. Roho mbaya
2. Kila...
Ndio maana wanaamua kuajiri failures, kuna dogo hapa kitaa aliomba nafasi za polisi zilizotangazwa hivi karibuni lakini wamemkataa kwa sababu O-level alipata divisheni 3.
TFF na Bodi ya Ligi wanapaswa kuwachukulia hatua hawa UTOPOLO. Naona tangu TFF walipoamua kumuachia Braza Kitambi UTOPOLO wanajiona wana nguvu ya kutoa maelekezo kwa TFF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.