Ipo uziguani huko, sio pabaya sana!Mwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
Nenda tu ukapoteze mudaMwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
Mwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
Mjiandae kuvuna mahindi huko mgambo, kuna mashamba yanaitwa mashamba dunia. Utavuna mpaka ukome, ndo kazi zilizopo huko.Mwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
Thanks a lot. Wewe umenipa taarifa ninazozitaka. Ubarikiwe.Mjiandae kuvuna mahindi huko mgambo, kuna mashamba yanaitwa mashamba dunia. Utavuna mpaka ukome, ndo kazi zilizopo huko.
Labda utakachoinjoi ni kula machungwa tu.
Ile ni kambi ya uzalishaji, hivyo utakua umeepuka mazoezi ya kijeshi kwa kiasi fulani. But pako vizuri japo nilitoka huko zamani sana.
Lol Mgambo JKT,,,,kawaida tu mwaka wetu tulilima sana.Mwenye kuifahamu Mgambo anisaidie mazingira yakoje> Panafaa kwenda? au ni mateso? Haya makambi yanatofautiana ingawa kote ni mitulinga ya Jeshi.
Yes nasikia kuna mashamba makubwa ya mahindi. Kuna mwenzako kanijibu hapa. Lakini Tanga kuna ukame sijui kama wamelima.Lol Mgambo JKT,,,,kawaida tu mwaka wetu tulilima sana.
Machungwa ndo yalikua chakula tukidoji kazi.Hahahaaaa mujibu wa sheria hatariMjiandae kuvuna mahindi huko mgambo, kuna mashamba yanaitwa mashamba dunia. Utavuna mpaka ukome, ndo kazi zilizopo huko.
Labda utakachoinjoi ni kula machungwa tu.
Ile ni kambi ya uzalishaji, hivyo utakua umeepuka mazoezi ya kijeshi kwa kiasi fulani. But pako vizuri japo nilitoka huko zamani sana
yeah hakuna kikubwa zaidi ya kilimo nadhani taratibu nyingine ni za kawaida jeshini binafsi sikuona ugumu huenda kwa kua nilikua naumwa kila wiki hahahaaYes nasikia kuna mashamba makubwa ya mahindi. Kuna mwenzako kanijibu hapa. Lakini Tanga kuna ukame sijui kama wamelima.
Kwani kule jeshini wanaruhusu kuumwa???yeah hakuna kikubwa zaidi ya kilimo nadhani taratibu nyingine ni za kawaida jeshini binafsi sikuona ugumu huenda kwa kua nilikua naumwa kila wiki hahahaa
Hakuna cha ukame wala nini, kulima ni kama kawa. Kipindi naondoka hapo tulikuwa tumeshaandaa ekari elf 2 kwa ajili ya mahindi na lengo ilikuwa tuandae ekari elf 4 .Yes nasikia kuna mashamba makubwa ya mahindi. Kuna mwenzako kanijibu hapa. Lakini Tanga kuna ukame sijui kama wamelima.
sikumbuki maana sifuatilii mambo hayo. Wanangu hakuna aliyekwenda jkt hivyo sifuatilii. Last one ndiyo amechaguliwa kwenda hapo.Hakuna cha ukame wala nini, kulima ni kama kawa. Kipindi naondoka hapo tulikuwa tumeshaandaa ekari elf 2 kwa ajili ya mahindi na lengo ilikuwa tuandae ekari elf 4 .
Mpaka tunaondoka serikali ilikuwa imepanga kuwalipa fidia wanakijiji wa pale jirani ili wachukue ardhi yao iwe ya kambi. Lengo ilikuwa ni kuongeza mashamba zaidi.
Lakin sijui kama mambo yatakuwa yamebadilika maana nimeondoka huko operation ya kwanza kabisa mwaka 2013. Na ndo tulikuwa wa kwanza kama mnakumbuka vizuri.
Magonjwa si yapo tu kokote,,ila hata ukiumwa hakuna mapumziko ya maana ila sie muda mwingi tulikua tunajiuguza ki uongo uongo mtu unaenda hosptal unadanganya kichwa sijui nini wakipima hauna lolote hadi joto kawaida ni vile tulikua tunafurahia kale ka muda ka kukaa hosptal wakati mazoezi/kazi zinaendelea.Aisee jeshi ni wito haswaa miezi mitatu niliona miaka kumi.HONGERENI WANAJESHI WETUKwani kule jeshini wanaruhusu kuumwa???
Hahahaaaa mwaka wangu piaHakuna cha ukame wala nini, kulima ni kama kawa. Kipindi naondoka hapo tulikuwa tumeshaandaa ekari elf 2 kwa ajili ya mahindi na lengo ilikuwa tuandae ekari elf 4 .
Mpaka tunaondoka serikali ilikuwa imepanga kuwalipa fidia wanakijiji wa pale jirani ili wachukue ardhi yao iwe ya kambi. Lengo ilikuwa ni kuongeza mashamba zaidi.
Lakin sijui kama mambo yatakuwa yamebadilika maana nimeondoka huko operation ya kwanza kabisa mwaka 2013. Na ndo tulikuwa wa kwanza kama mnakumbuka vizuri.