Recent content by songalelu

  1. songalelu

    Dawa au sindano ya kuzuia maambukizi ndani ya masaa 48 baada ngono isiyo salama

    Mh haipogo hiyo, jilinde tu mwenyewe otherwise utapotea!
  2. songalelu

    Hivi kweli uchawi upo katika elimu/masomo?

    Hiyo ipo best datswhy i said upo uchawi wa kumpumbaza mwenzio asielewe unachokifanya ila me cjui kimautundu zaid inakuaje ni hayo tu nnayoyajua!
  3. songalelu

    Hivi kweli uchawi upo katika elimu/masomo?

    Ni kweli uchawi waweza kumpumbaza akili mwenzio but sio kufanikiwa kielimu au kufaulu, hiyo haipooo.
  4. songalelu

    Hivi kweli uchawi upo katika elimu/masomo?

    Japo husemwa imani yako itakuponya but ktk elimu hata uamini vip uchawi haupo may be uutumie uchawi huo kumpumbaza msahihishaji napo mmmhhh cna uhakika.
  5. songalelu

    Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

    Yap, mada zingine 2nawakera fellowz ... ...!!
  6. songalelu

    Ushauri:Kuoa mwanamke mwenye mtoto

    ..........husema kosea yooote but uckosee kuoa au kuolewa utaregrate, sasa ww ndugu yangu hata maisha ya ndoa tu na huyo shem hamjaanza tayari kuna dalili za kumrudia mzaz mwenzie, ucsubili mambo yawe magum, amua mapema na uchukue hatua kabla maj hayajawa shingon...
  7. songalelu

    Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    Kwa hilo best yatubidi tuanze kujtambulisha na gender, coz ni balaa kulike outing na men mwenzio .......!
  8. songalelu

    Ungependa kutoka na nani hapa JF....

    My self a like "Eshy m.s" nice to meet u
  9. songalelu

    Why wanapenda maongezi ya simu?

    Bora ingekua maswala hayo ya kifamilia ambayo yanajulikana ni kawaida kulko mtu anapga cm hana cha kusema mkimaliza then dkka kadhaa anapga tena, wastan kwa cku anapga hata mara 10.
  10. songalelu

    Why wanapenda maongezi ya simu?

    Sichukii yy kunipigia but ni vema akinipigia tuwe na la kuongea, unfortunately anapiga while nothing cha kuongea na hachoki anaendelea tu kucall dats prob!
  11. songalelu

    Why wanapenda maongezi ya simu?

    Had sasa tuna miez kama nane iv ktk mahusiano.
  12. songalelu

    Walimu Wapya Lakini Watafundisha Nini?

    Ndo nchi yetu inakoelekea na xaxa wanaongeza kuishusha thamani elmu yetu tz kwa kushusha viwango, mwisho tutabaki kuwa wakopaji tu wa mataifa mengine ambayo wenzetu wamexoma..... yataka moyo tuiombee nchi yetu!
  13. songalelu

    Azsky gprs for dstv, canalsat, aljazeera sport and fta. Its free no monthly subscription

    Nipo mwanza ndugu nahtaj hiyo g2 napataje au hadi nije dar...?
  14. songalelu

    Why wanapenda maongezi ya simu?

    No hisia nae zipo but
Back
Top Bottom