Recent content by Sonffrey

  1. Sonffrey

    Timu ya kampeni ya Dr. Magufuli yasambaratika

    Hahaha upinzan naona mmeishiwa na bado tare25 ad mtakimbia jamvin .angalia mktano wa geita sasa iv c mafuliko c sunami nizaid ya sunami .kamat tendaj ya kampen yote ipo na inafanya kaz so peleka hiyo hoja hko ukawaaaaaa
  2. Sonffrey

    Ujue ukweli wa Lowassa kukimbia midahalo

    Watanzania dah mbona tunashindwa ku reason cc wenyewe lowassa ambae alikuwa serikalin kwa miaka 30 kama wazir alishindwa kleta ma badiliko leo hii ana2hadaa nawatu macho yanawatoka ety rais haaaa nan amchague huyo fisad
  3. Sonffrey

    CAS is now open for 2nd round applications only

    Jaman wengine profile zao zipo iv
  4. Sonffrey

    TCU/NACTE application 2015/2016 for undergraduate

    Jaman kuanzia tareh 9 tcu wali update profile za wafunzi wote ambao wameomba vyuo mbalimbali.wale ambao walibahatika kufungua account zao wapo ambao waliambiwa wamepata na wapo waliokosa.waliokosa wslikuta notification inayowataka wa appy second round kwa chuo kimoja tuu .kwa sasa cas haifunguki...
  5. Sonffrey

    FULL TEXT: Hotuba ya Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa - Agosti 29, 2015

    Ipo pouwa lakin vyanzo vya uchumi ili kufanikisha hilo nitatizo .pil mweshimiwa nikwakipind kiref sana alikuwa ndani ya chama cha mapinduzi na serikal kwa ujumla katika nafas kubwa tyuuu mbona hakuyafanya hayo yote au hakushaur serikal!!
Back
Top Bottom