Recent content by Son of Nun

  1. Son of Nun

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    Mkuu, Cha kwanza nisamehe kama nitakuwa nimepotosha kwakuwa kila binadamu ana ukomo wa fikra, cha pili kama ni uongo kuwa sayansi haijaundwa kuuliza maswali kama nilivyosema toa ushahidi basi wa maswali yaliyojibiwa na sayansi. Na ukitegemea yapo maswali rahisi sana ambayo majibu yake ni magumu...
  2. Son of Nun

    Wapi nitapata brown rice kwa bei nzuri?

    Wadau, Mitaa ya Arusha mchele huu unapatikana wapi?
  3. Son of Nun

    Je, ni yapi mapungufu ya sayansi?

    Upungufu wa sayansi upo kwenye swala haswa kuwa imeundwa kuuliza maswali na si kutoa majibu ya maswali husika. Mifano mingi ipo ya jinsi ambavyo sayansi inashindwa kujibu maswali yake yenyewe, kama kwanini proton na electron kamwe haziachi kuzunguka nucleus au kwanini sayari hazitoki kamwe...
  4. Son of Nun

    Msaada wa hali na mali

    Salaam Wakuu, Nilikuwa na shida ya Biblia ya Kiswahili iliyochapishwa kabla ya miaka ya 1900's.
  5. Son of Nun

    Kama watoto ni Malaika kwa nini wana roho mbaya na tabia chafu

    Mkuu, Kuku huzaa kuku, bata huzaa bata na hata binadamu huzaa binadamu. Watoto si malaika bali kwakuwa sisi wazazi wao ni wadhambi basi nao dhambi i ndani yao kama vile ilivyo ndani yetu.
  6. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Niko Arusha mkuu, Kuhusu manunuzi nitakufuata tuyajenge PM.
  7. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Upendo upo mkuu tena kiwango cha lami.
  8. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Mbona ndoto yangu ya kumiliki mbwa inafifia mdogomdogo
  9. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Mkuu mbona umenikoroga fafanua kidogo.
  10. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Mkuu hiyo hela mbona kama mtaji ila kila nikiona picha ya Shepherd nabaki tu nawaza hivyo hamna namna ni kujitosa tu.
  11. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Sawa Mkuu ujumbe umefika.
  12. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Vipi mkuu kuhusu German shepherd uzuri wake na bei yake? Na hao pia uliowataja vipi bei zao?
  13. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Hapo nimewapata mkuu ila vipi kuhusu bei ya mbwa ya kununua namaanisha?
  14. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Hapo umenitoa tongotongo mkuu, Je hauna mausia mengine katika hifadhi yako mkuu maana kwenye swala la ufugaji niko kapa mkuu.
  15. Son of Nun

    Mambo ya Kuzingatia kabla ya kufuga mbwa

    Fafanua hapo mkuu maana umeniacha gizani.
Back
Top Bottom