Recent content by Son of Alaska

  1. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    Huyo mjanja wenu Mohamed Said kasoma St Joseph kila siku asubuhi assembly alikuwa akiukunguta msalaba kwenye forehead-naamini deep inside haya mambo ya hirizi in private haamini-mbele yenu huyaona poa akiogopa kuwa isolated na wana jumuiya
  2. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    wanarogana sana hawa,unaweza kulikuta hata somi kama Ritz,lina hirizi kibao kiunoni eti linajilinda- nenda kanisani wakuondolee huo mzigo wa kilo unaobeba kiunoni
  3. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    hawa ndio anaowasemaga @Khataan,huyu mmoja kwa mmoja kalelewa na mzazi mmoja
  4. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    hapo ilikuwa just before independence,huyo mchoraji obviously ita kuwa mwenyeji wa dar,huyo mwenye suti somi jitu la bara na huyo mzungu mkoloni-Sasa hapo nani muungwana???
  5. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    sasa naomba uniambie hapo katika picha nani muungwana???
  6. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    Naona wewe Homo Sapien siku nyingi sasa hujapata ban. naona unitaji kupumzika ili urecharge battery zako-tutaliangalia swala hilo
  7. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    WE CAME WE SAW WE CONQUERED tukawaacha mnacheza mkwajungoma na kuvaa vi baraghshia
  8. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    huyu naye eti alipata Div 1,high school-either huu mtihani uli leak au msahishaji alikuwa KIGHOMA MALIMA
  9. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    WEWE na hao wenzako be gratefull to God,mmenusurika na bao na ngoma za unyago,mkaziona kuta za darasa-all in all isiwe sababu ya kutukana watu sababu mlipata nafasi hizo ku even the score na pengine sio on merit,as such tumieni keyboard kushukuru and nothing else
  10. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    Unfortunately hao watu uliowataja,you cannot even grace the ground they walk on-such is the gap that there is no point-i aint mean ,but thats the reality-i would suggest you try one of your cohorts,the ritz`s,big show etc etc hapo naona it will be a level playing field
  11. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    day dreamer mwingine huyu,yaani kama nzige wao hushambulia mande even if they are wrong-na matusi ndio middle names zao- anyway tutawa civilise polepole even if it takes eternity
  12. S

    Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

    generation ya akina amos upanga wengi walitokomea katika mdude na ukawaondoa,walio survive wanatia huruma hata ukikutana nao unalengwa na machozi-aliyesema hujafa hujaumbika was spot on
  13. S

    Sheikh Jongo bado ana mengi ya kujifunza

    Gs-300, hilo la ramadhani dau haliitaji majaribio,hiyo ni open secret katika corridors za power tanzania- vaa kubazi,kanzu,hijabu kininjaninja na tasbii kuukuu-ukiwa na ile kitu ya kwenye forehead nadhani inaitwa sigda wewe kazi ni guarantee
  14. S

    Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

    kibasila ipi? kwa juu au jeshini??
  15. S

    Chuche Pemba: Mwanaume anayependa mavazi ya kike

    kifo cha amos kilisikitisha sana-ni kikasababisha kaka mtu nae apate heart attack-misiba miwili at a go
Back
Top Bottom