Huyo nchimbi alikuwa yuko Brazil kapotezwa jina kwa miaka 6 lilikufa..nani alimuhitaji mwenzie??jina lake limeanza kurudi baada ya kuvutwa na rais
Baada ya miezi 5 atakuwa ashasahaulika na watu tuaendelea na masuala ya simba yanga na maisha mengine
Seneta wa Marekani, Ilhan Omar, ameshinda uchaguzi wa awali wa chama cha Democratic katika wilaya ya 5 ya Minnesota, baada ya kupata zaidi ya asilimia 80 ya kura.
Ilhan Omar alishiriki uchaguzi huo bila kuungwa mkono na AIPAC, kundi lenye ushawishi katika siasa za Marekani linalounga mkono...
Hamna mbinu cnn washingtonpost hawa wote ni wapinzani wa republican wanachosema basi juwa wanamaanisha mfano Washington walitoa siri kibao kipindi hiki cha vita mpaka walitaka kushtakiwa na Serikali ya Trump
Usa hakuna tbc kule vyombo vya kule vyenye mrengo tofauti huwa wanafukunyua mambo
Ndio...
Generali wa marekani Alexus Grynkewich amesema kwasasa hana silaha za kuilinda Israel hivyo ni bora silaha zilizopo ziisadie kwenye ardhi ya marekani badala ya kuilinda Israel.
Ndani ya wiki mbili pentagon wamesema wanajeshi 100 wamejeruhiwa na watatu kuuliwa.
Lakini ripoti zinasema pentagon wamekuwa wazito na slow kwenye kutoa takwimu halisi huku idadi kamili wakificha kwa hofu za kiusalama.
Iran ilishambulia kambi za marekani zilizopo kwenye nchi za ghuba ya uajemi.
Wanajeshi wa usa tayari washaliwa vichwa japo wametangaza wawili sijui 3 na kadhaa wamejeruhiwa hapo number wamepunguza..target unayo ww unayejuwa kucomment
Unaongea pumba huyu xr7 footwork yake mbovu kwanza kwasasa mipira anapoteza hovyo hana impact zaidi ya kufunga tu..unaweza usimuone kwenyenmchezo mda mrefu ..anyimwe ili iweje
Kubali mchezaji wako hana footwork nzuri saizi
Kama kuna ubaguzi wa mataifa kwenda au bara fulani kulikuwa na haja gani ya kuandaa mashindano hayo ya kidunia kwenye ardhi hio
Ni siasa chafu na kali za Trump tu zilizokosa mashiko ..marekani hii ya leo uzamie husurvive ndani ya mwezi utapatikana sema ni sera ngumu tu za Utawala wa Trump lau...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.