Recent content by somsom

  1. S

    Wanahitajika Vijana Kwa ajili ya KUUZA bidhaa za bima

    Sisi ni wakala wa Bima tupo Dar es Salaaam, Kinondoni, tunahitaji vijana wa kike/kiume, wenye elimu ya bima ngazi ya cheti/Diploma Kwa ajili ya KUUZA bidhaa za bima, ni kazi ya mauzo/masoko kama una sifa tajwa tafadhali ni pm Kwa maelekezo zaidi@vigezo na na mashariti kuzingatiwa.
  2. S

    Tunahitaji Vijana kuuza bidhaa za BIMA

    Vijana wa kike na kiume wanahitajika kuuza bidhaa za bima, kazi ni Dar es Salaam, wawe na ujuzi wa bima kuanzia ngazi ya cheti, ni kazi ya masoko, hivyo kama una sifa tajwa tafadhali ni PM kwa maelekezo ya kazi.
  3. S

    Wafanyakazi katika PUB wanahitajika

    Tunahitaji wafanyakazi wa kike/Kiume kuhudumu katika pub iliyopo Kinondoni, barabara ya Mwananyamala Dar es Salaam; awe na elimu ya kidato cha 4 au Cheti; uzoefu wa Kazi; umri miaka 18 hadi 30. Kama una sifa tajwa tafadhali ni PM Kwa maelekezo zaidi. Vigezo na mashariti kuzingatiwa.
  4. S

    Special Thread: Wauza TV aina zote kwa bei nzuri tuuziane hapa

    Kama Kuna mtu Ana kioo Cha TV Samsung kawaida "55" tufanye biashara.
  5. S

    Natafuta nafasi ya kazi au kibarua

    Jabari Kaka Kama hujapata tuongee
  6. S

    Natafuta kazi au kibarua chochote

    Kama bado kazi, nitafute
  7. S

    Msaada: Natafuta kazi yoyote ya halali

    Ni pm tuongee kuhusu kazi
  8. S

    Natafuta kazi ya upishi Dar au Dodoma

    Kama hujapata kazi nipm
  9. S

    Natafuta ajira front office

    Kama bado hujapata kazi ni pm
  10. S

    Natafuta kazi stationary

    Mwambie anipm nitampa maelekezo ya kazi
  11. S

    Natafuta kazi, nina uzoefu wa kazi mbalimbali

    Kama bado hujapata pls pm me
Back
Top Bottom