Nia ya serikali ilikuwa kweli kulifungia kanisa ila walivyoona response mbalimbali za watu wakagundua hii tumeingia cha kike,hivyo kama kawaida yao serikali hii,wanaikana
Ngoja nikujibu Ochuka alipewa hifadhi ya kisiasa Tanzania ila mwaka 1983,wanajeshi wetu walipotaka kupindua Serikali yetu na baadhi yao kukimbilia Kenya basi ikabidi yafanyike mazungumzo ya kubadilishana wafungwa ndio ikabidi Moi awakabidhi wakina Luten Eugen Maganga na wenzake na Nyerere...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.