Recent content by Somebody Is Me

  1. Somebody Is Me

    Le Mutuz aenda kumsalimia Shose Sinare gerezani

    why are you so bitter? It his life..leave him alone..hayo ndo maisha alojichagulia #DontBother
  2. Somebody Is Me

    Ali Kiba na Giggy Money mahaba motomoto

    Work! Work! Work!
  3. Somebody Is Me

    Tetesi: Samata achezea za mbavu kwa Gigy Money

    Hahahaaa nimecheka kwa nguvu mpaka nimeamsha walolala
  4. Somebody Is Me

    Tetesi: Eti Baby Latifah sio wa Diamond

    I second you #mamafive..DNA haitusaidii chochote kwa kweli awe mwanae au laah! Wat matter is kumsapoti mond bin laden bhaas ayo mengine ayatuusu kiukweli
  5. Somebody Is Me

    Nawakubali Sana Navy Kenzo!!!

    Nawapenda NavyKenzo...Kamatia chiniiii
  6. Somebody Is Me

    Online business

    Mwenye kujua website ya kununua vitu online kama mabaibui(abaya) kutoka Dubai na Oman naomba anijuze..Asanteni
  7. Somebody Is Me

    Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

    hata kama ni kweli lakini HAYAKUHUSU...mind ur own bizz and if u cant appreciate atleast dont judge...I dedicate the song #DontBother ikuliwaze huko ulipo...m#$@^&@*@,@*f
  8. Somebody Is Me

    Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

    Msamee bure tu sio akili zake huyo si bure
  9. Somebody Is Me

    Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

    Mpaka kufika kukaa baba wa muolewaji na muowaji pamoja ujue hapo yashapita makubaliano kati ya muolewaji na muowaji..na pia baada ya huyo muowaji kuulizwa maswali hayo ya 'umekubali kumuowa binti fulani wa fulani' baadae hugeukiwa binti muolewaji na kuulizwa da same question..kwaiyo bond ipo vzr tu
  10. Somebody Is Me

    Ndoa ya Wastara yadaiwa kuvunjika, mumewe afafanua kilichotokea

    Namuonea huruma sana huyu dada/mmama...ni wakati sasa wa kumrudia Mola wake kwa nguvu zake zote...hakika hakuna kubwa kwa Muumba
  11. Somebody Is Me

    Maalim Seif: CUF haitashiriki uchaguzi wowote chini ya Tume ya Jecha Salim Jecha

    Nyie mlisusa izi kelele za nini sasa? Tulieni tu dawa iwaingie vizuuuuri...#MkisusaWenzenuWala
  12. Somebody Is Me

    Maalim Seif: CUF haitashiriki uchaguzi wowote chini ya Tume ya Jecha Salim Jecha

    Yeye amesusa wenziwe wamekula wakakomba mpka mboga...na mara nyengine asithubutu kufanya wizi kwenye nyumba ya jambaaaz
  13. Somebody Is Me

    Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar yazikwa

    Na wakati yeye sasa hivi ndio kinara wa kutaka Zanzibar iwe na mamlaka yake..kweli binaadamu tunasahau sana au tunajitia usahaulifu tuu..
Back
Top Bottom