Ukweli mchungu, Zari ndie kamuoa Diamond...

Tangu mwanzo nimesema huu ni ukwel mchungu nao mashabiki wakike na wakiume mnakuja tetea kuolewa kaka huku mkiwa hamna vifurush vya kutosha. Mpaka zari awatumie
 
N
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Njoo na wewe Mke wangu akuoe... siuntamani kuweka ndani
 
Kwanini muda kama wa huyu jamaa wengine tunautafuta hatuupati? Watu wana raha jamani, wana muda wa kutosha na msalani bado wanaenda! Haya ndugu mama kaivisha ubwabwa nenda kale.
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Ni upuuzi kuhangaika na maisha ya mtu mwingine badala ya kujiongeza kivyako!
 
Ujinga amabao vijana wengi wa dar mnao nikushabikia uongo na mambo yasio kuwa ya kweli najuwa hamuwezi kupenda hii thread kwavile niwavivu wakusoma nakufuwatilia mambo in shot imekuwa kama diamond kaowa wanaume kwa wanawake na kwa vile wengi wenu mwajuwa kile kinaendelea hampendi haya mambo yajulikane ila sikizi mitandao inavujisha ukweli wote wala huu sio umbea tena haya ni mambo ya kweli sasa kwa vile macho yenu ni ya ukipofu ni vyema muendelee kuwa vipofu

hata kama ni kweli lakini HAYAKUHUSU...mind ur own bizz and if u cant appreciate atleast dont judge...I dedicate the song #DontBother ikuliwaze huko ulipo...m#$@^&@*@,@*f
 
Kama mwanamke kaoa nawe umeolewa na Ivan mbona anakutesavsana Diamond au ulitaka akuchape wewe
 
Mleta uzi una wivu wa kitoto,pambafu!!!Kiswahili chenyewe kibovu,kwenda huko!!@##$
 
Amejichanganya mwenyewe yule,unaweza ukawa na hela lakini ukawa mlugaluga,eti anasema yule dada ni mbichi mno hahaha,sizani kwamba anawajua madem wabichi offcourse najua anamlinganisha na akina wema
 
eti haruhusiwi ata kumpiga denda wakati kamdharisha mtoto wewe mleta uzi acha mbishe za ajabu ebuu acha kulinganisha mambo ya ajabu ivan ndo nani sasa
 
Fala kweli wewe..mwanaume mzima mbeeeeyaa tafuta hela acha majungu na mb zako za chuo
 
TOTO TATU DIAMOND NNE IVANI WAMETOKA MBALI NA UTAJIRI WOTE ANAKIRI YEYE NA IVAN
DOM KWELI UMEVAMIA TREN KWA MBELE
SIKILIZ YOU TUBE ONE ON ONE ZARI
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
shoga upo?
 
Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Ukiwa huishi kuongelea ya watu, ya kwako yatalala.
 
Jamani hivi kumbe kaka ndio kaolewa badala ya dada? nimekuwa nikipita kwenye mitandao kufuwatilia ukweli nikagunduwa ukweli,
Facts hizi hapa

Ivan mume wa zari alichukua poa kwa zari kumfuwata diamodi na ktk maojiano na vyombo vya habari jamaa anaonyesha kumdharau kijan Diamond kwa kukurupukia mapenzi ya watu wakati hajuwi ukweli, mtonyaji anasema mshikaji anajuwa ndani nje za zari hivyo domo atashika pembe huku wenzake wakipata ziwa heheheheeheh....

Diamondi kwenda Uganda alichukuliwa na gari la kifahari la zari ambalo hata yeye hana, kwanza kabla yakufika Uganda alipigwa bit na mpenziwe Zari hakuna kuongea na vyombo vya habari kama unabisha tafuta kilp yeyote alio ongea dom na vyombo vya habari alipo enda Uganda, mtonyaji anasema wenye mke walipiga bit akizungumza tu wangemuaribu dom na huyo bi zari. heheheheheheheeheh jamani kaka akichukuliwa picha na paparazzi wa Uganda ananekana kazungukwa na baunsa ili asije ropoka.....

Ktk kile kinaonekana wenye mke kumchafuwa diamond alikutana na kashifa yakumdhulum mwanamziki Fulani dom alijikuta wakai mgum ktk kujitetea

jaman kweli Diamond akapimwe akili uwenda hata yule mtoto sio wake kama kweli waka pime DNA YA MTOTO NA BABA Tz pale ocean road ambapo ukweli utajulikana na sio SA kuficha ukweli........

Angalia picha zote za ivani akiwa na zari yan ivan anakula denda wazi wazi ila kaka hakuna picha anamuinamisha zari na kula denda kama mwenzake yani full kuolewa kakakakaakakkakakaakak.

Diamond hana pesa yakumpa zari yani uniamini mimi wala zari hana kitu anapoteza kuhusu Diamond na kiukweli diamond hana say kwa zari wala hana mamlaka za zari kama unabisha subiri uone ktk nyakati tofauti malezi ya zari kwa diamond yamemfanya diamond kuwa kama mnyonge pesa apate wapi kaka uyo zari waliokuwa wanampa kazi nakumuendesha ni akina Ivan jamaa ndio kiburi dume la ng'ombe hata sasa zari hutomsikia anamtukana au anamsema vibya njooo mh aseme vibaya kama kidume ajamuharibu, yani inatia huruma kwa kaka amepatikana,

Hatakiwi kumchosha dada akizidi kila mu chumba yake. heheheheheehehehehe natania ila kweli

mtonjaji hafungwi yote nimeandika yapo kwenye mtandao
Probably ni kweli lakini inakuhusu nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom