Recent content by Solomon Sambweti

  1. S

    Kinana: Lowassa safi, Nyalandu anazurura

    Watanzania wanamfahamu Lowassa kuwa sio mtu wa maneno mengi ila mtu wa vitendo vingi. Monduli pamoja na jiografia yake ina kila kitu alichoahidi ikiwa ni shule zenye walimu, barabara nzuri, maji na hospitali nzuri sasa zote zipo. Sasa tunamtaka afanye hivi kwa nchi coz ameshaonyesha anaweza.
  2. S

    GE2015 Edward Lowassa sio lazima yeye tu ndiye awe Rais wetu 2015, Rais wetu wa 2015 ni...

    Siasa ni mchezo unaochezwa kitimu na kawme si kama mtihani ambayo kila mtu hufanya kivyake kuwa na kundi ndio njia moja kufanya siasa. CCM ni kundi tayari. Lowasa ana kundi kubwa la ccm. Je hii ni dhambi? Mahakama kila siku zinawashughulikia wezi, mbona lowassa hashitakiwi? Mafanikio ya mtu...
  3. S

    Mh. Edward N. Lowassa anapata wapi nguvu ya pesa?

    kila mtanzania anayo haki ya kuutamani uongozi wa nchi kuanzia chini mpaka juu kabisa, na kila chama kina utaratibu wa namna ya kumpata mtu atakayepeperusha bendera yake. Sioni hatia hata kidogo kwa EL kutamani nafasi hiyo ya juu kabisa nchini. Sioni sababu ya EL pekee kuwa the subject of...
  4. S

    Uteuzi wa Baraza jipya la Mawaziri

    Pasi kubadili mfumo mambo yataendelea kubaki hivi kwa muda mrefu tu
  5. S

    Lowassa kuwa rais sawa, lakini kwanini anahonga?

    Lowassa haongi ila husaidia wahitaji. Mbona Regnald husaidia mara nyingi tu? Naomba tuache kumhusisha Nyerere na siasa hizi coz zama zake zimepita tayari. Lowassa ana moyo wa kutoa na wala si kana kwamba no tajiri
  6. S

    Tumbo joto NEC ya CCM kumteua mgombea urais 2015

    Tayari kila kitu is known
Back
Top Bottom