Kwa nchi hii kufungwa watafungwa watu wa chini sio wanasiasa,leo mahakama itasema imemkuta mwanasiasa na kesi yakujibu kesho itasema aina sababu yakuendelea na kesi,Rejea kesi ya mboe na kesi ya sabaya ,sabaya kesi yakwanza ameshinda usishangae na kesi hii ikafutwa pia iyo ndio tz
Kwenye mafundisho yakislam yanasema Ibrahim alimwambia is-haka juu ya mungu kumtoa sadaka,Isaka akasema Kama ni amri toka kwa mungu nipo tayari kwa hiyo Isaka alipewa tarifa.
Magufuri aliangalia usawa wa wafanya biashara kuanzia chini ,kati mpaka juu bila kuathiri raia wake Wala serikali yake .leo hii wafanyabiasha wanapandisha Bei vitu kwa kisingizio Cha Vita na hakuna anaejali maisha yamekua magumu ,bado raia anapigwa na tozo ajaka sawa mfumuko wa Bei.
Tofauti ya Samia na magufuri ni,Samia anaumiza wengi ananufaisha wachache,magufuri kiuchumi wengi wa chini walinufaika wachache waliumi hasa majizi,alijitaidi kudhibiti mifuko ya Bei hata kipindi Cha covid 19
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.